.

.

Mapacha wa Beyonce, Rumi na Sir Carter hawa hapa


 Hatimaye Beyonce amewaonesha watoto wake mapacha, Rumi na Sir Carter. Amewaonesha watoto wake hao na JAY-Z kwenye Instagram Ijumaa hii baada ya kufikisha mwezi mmoja.


“Sir Carter and Rumi 1 month today. πŸ™πŸ½❤️πŸ‘¨πŸ½πŸ‘©πŸ½πŸ‘§πŸ½πŸ‘ΆπŸΎπŸ‘ΆπŸΎ,” ameandika Beyonce.

 Picha hiyo inatarajiwa kupata likes na comments nyingi pengine kuliko hata ile aliyoitangaza kuwa ni mjamzito.
Watoto hao walizaliwa kabla ya wakati na kupelekea Beyonce kubaki hospitali kwa siku kadhaa.

No comments:

Powered by Blogger.